Matthew 6:31-33

31Kwa hiyo msiwe na wasiwasi, mkisema, ‘Tutakula nini?’ au ‘Tutakunywa nini?’ au ‘Tutavaa nini?’ 32 aWatu wasiomjua Mungu ndio wanaoshindania hayo, lakini Baba yenu wa mbinguni anafahamu kuwa mnahitaji haya yote. 33 bLakini utafuteni kwanza Ufalme wa Mungu na haki yake, na haya yote atawapa pia.
Copyright information for SwhNEN